• Seynation Updates

    Monday 7 December 2015

    Man Utd kukabiliana na Wolfsburg UEFA

    Manchester United watakutana na klabu ya Wolfsburg kutoka Ujerumani Michuano ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) inatarajiwa kuendelea kesho Jumanne Desemba 8 kwa michezo kadhaa katika hatua ya makundi. Real Madrid itakuwa ikichuana dhidi ya Malmo, Paris Saint-Germain watawakabili Shakhtar Donetsk zikiwa ni mechi za kundi A. KUNDI: B: PSV Eindhoven Wao watapepetana na CSKA Moskva, Wolfsburg watakuwa wakimenyana na Manchester United . KUNDI: C: Benfica watawakabili Atlético Madrid, na Galatasaray ya Uturuki itachuana na Astana KUNDI: D: Manchester City Watawakabili Borussia Mönchengladbach, huku Sevilla wao wakichuana na vijukuu vya bibi kizee vya Turin Klabu ya Juventus . Na Desemba 9 kutapigwa mechi kadhaa katika mwendelezo wa michuano hiyo.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI