Taarifa zinazozidi kusambaa kwenye mitatandao ya kijaamini ni kwamba, Ofisa Habari wa klabu ya Yanga Jerry Muro amefungiwa kujihusisha na mambo ya soka kwa mwaka mmoja.
Ripoti zinadai kwamba, uamuzi huo umetolewa leo Juni 7 na kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania (TFF).
No comments:
Post a Comment