• Seynation Updates

    Friday 14 April 2017

    Lugumi Aitafuna Serikali ya Magufuli.



    Huu wa safari hii ulisainiwa Idara ya Uhamiaji wa kufunga 'E imigration System'

    Aliwasilisha mikataba miwili ya kazi moja kwa bei tofauti. Mmoja TZS bil. 37.1 na mwingine wa TZS Bil. 39.5. Hata hivyo wakati wa utekelezaji jumla ya kiasi cha TZS Bil. 41.5 kililipwa.

    Wajumbe 2 wa kamati ya tathmini waligoma kusaini.

    Vituo 36 kati 152 havikufungwa mfumo huo kinyume na mkataba

    Baadhi ya vifaa vilikuwa vya gharama ya juu zaidi ya bei ya soko kwa zaidi ya TZS Bil. 5.964

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI