• Seynation Updates

    Friday 1 December 2017

    PICHA: SHABIKI ALIYEFANYIWA UPASUAJI MARA 50 ILI AFANANE NA ANGELINA JOLIE

    Ni miongoni mwa stori kubwa kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii duniani inayohusu shabiki wa kike aliyefanyiwa upasuaji zaidi ya mara 50 ili kuwa na muonekano wa staa wa filamu kutoka hollywood Angelina Jolie.
    Sahar Tabar, 22, anatokea Tehran, Iran, amekuwa akiongelewa sana mitandaoni wiki hii, wanaotazama picha hizi kwenye instagram yake wamekuwa na maneno mazuri juu ya kitendo chake huku wengine wakimuita ZOMBIE
    Sahar amesema lengo lake kwenye maisha ni kufanana tu na  Angelina Jolie na mpaka sasa amepoteza zaidi ya kilo 40 ili kutimiza lengo lake
    Tovuti tofauti zinasema ana umri wa miaka 19
        

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI